Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii kwa Mahaba niue yake yote kwa Mumewe anayemuita Mwanasaikolojia wake Mke wa Mwanasaikoloja Maarufu nchini Dk, Chris Mauki aitwae Miriam Mauki amesema kuwa...
7 Reactions
34 Replies
337 Views
Salamaleko, Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake...
21 Reactions
86 Replies
2K Views
Aaah yamenifika hapa! Nahisi hii ni vita kali na wengi wetu tunaingizwa mkumbo tu, wekeni sababu za msingi hapa tuone. Mimi rasmi simo kwenye huo upotoshaji, kama kuna sehemu niliwahi kunukuliwa...
9 Reactions
46 Replies
558 Views
Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF. Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu. Unajiuliza nini hiki sasa. Sio mbaya kujaribu pengine...
17 Reactions
284 Replies
3K Views
Sisi wanaume ni ngumu kujua hatujapewa huo uwezo machoni, labda iwe ni wazi wanaonesha hawampendi. Sababu ni hizi ๐—ช๐—ถ๐˜ƒ๐˜‚ Ukute wewe ni mtu unaewajibika kwa mkeo, unampenda na kumjali na unamtunza...
3 Reactions
29 Replies
549 Views
Habarini za leo wakuu tafadhali kwa wenyeji wa maeneo ya RUHUWIKO(songea) naomba mjitokeze unisaidie kuna ndugu yangu namtafuta sana hap
5 Reactions
28 Replies
188 Views
๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ช ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜บ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฐ ๐˜œ๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช ๐˜๐˜ช๐˜ช ๐˜๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ต๐˜ฆ.....! ๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ ๐—ก๐—ฑ๐˜‚๐—ด๐˜‚.... ๐˜๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ธ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ต๐˜ข๐˜ง๐˜ถ๐˜ต๐˜ข ๐˜๐˜ช๐˜ง๐˜ข๐˜ข ๐˜ท๐˜บ๐˜ข ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/ ๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜’๐˜ช๐˜ฑ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ฐ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜š๐˜ถ๐˜ญ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Ni aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa. Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu. Ahsante
19 Reactions
83 Replies
750 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!. Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
124 Reactions
7K Replies
1M Views

FORUM STATS

Threads
1,854,499
Posts
49,633,244
Back
Top Bottom